Friday, June 1, 2012

Timu ya uratibu wa mradi wa LVEMP walivyovinjari bandari ya Bukoba leo

Mkuu wa Bandari ya Bukoba, Bw. Ernest Nyambo akipata baadhi ya maswali kutoka kwa timu ya uratibu wa mradi  wa mkutano wa LVEMP walipotembelea bandarini hapo leo
 Nahodha msaidizi wa Meli ya Mv. Victoria akiwapatia maelezo timu ya uratibu wa mradi wa LVEMP  bandarini hapo leo kabla ya meli hiyo kuondoka kuelekea jijini mwanza, kutoka kulia ni Diwani wa Kata ya Rabuor wilayani Rorya Bw. Yamo Odemba, anayemfuata  pia ni Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Tarime Bw. Mwita Mintago, iliozaa wilaya ya Rorya.

Haba timu ya uratibu wa miradi kuwakisiliza kwa makini nahodha msaidizi wa meli ya Mv. Victoria hayumo pichani, kulia kama kawa ni Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Rorya, kati kati ni mjumbe kutoka wilaya ya Tarime, Bi. Nancy Msafiri na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tarime Bw. Mintago.

No comments:

Post a Comment