Saturday, June 2, 2012

RC Tabora Fatma Mwasa azindua tamasha la Mtemi Milambo

Mkuu wa mkoa wa Tabora Mhe.Fatma Mwassa amezindua Tamasha la ngoma za utamaduni la kila mwaka liitwalo Mtemi Milambo jana tarehe 1/6/2012 katika uwanja wa shule ya Uyui mkoani Tabora.
Pichani katikati ni  Mkuu wa mkoa wa Tabora akirusha upinde ishara ya uzinduzi wa Tamasha hilo,pembeni yake kushoto ni Bwana.Amon Mkoga Mkurugenzi Mtendaji wa Chief Promotions ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment