Mwigizaji wa
filamu, Elizabeth Michael 'Lulu'
anayekabiliwa
na kesi ya kumuua mwigizaji
mwenzake,
Steven Kanumba, akisindikizwa na askari
Magereza
kuingia Mahakama ya Hakimu Mkazi
Kisutu
Dar es Salaam leo, kwa ajili ya kusomewa
mashitaka
yake. Kesi hiyo imehairishwa juni 18.
(PICHA
NA PHILEMON SOLOMON)
No comments:
Post a Comment