Wednesday, August 21, 2013

Hospitali ya Mkoa Kagera yapatiwa maabara ndogo ya kuchunguza dawa bandia


 Mkurugenzi wa Chakula na Dawa taifa, Dkt. Sikubwabo Ngendabanka aliyesimama akiwa anazungumza kabla ya kukabidhi maabara ndogo kwa uongozi wa hospitali ya mkoa Kagera, kati kati ni Katibu Tawala msaidizi mkoa Kagera, Bw. Richard kwitega akiteta jambo na Mganga Mkuu wa hospitali ya Mkoa Kagera ,Bi. Khairoonisa Pathan

 Baadhi ya watumishi wa afya katika hiospitali ya MKoa kagera waliohudhuria katika semina ya uhamasishaji wa viongozi wa afya katika uchunguzi wa ubora wa dawa kwa kutumia maabara ndogo.

 Hapa mmoja wa ofisa wa TFDA akifungua maabara ndogo inayotumika katika uchunguzi wa dawa bandia.


 Dkt.Ngendabanka akimkabidhi maabara ndogo kwa Katibu Tawala wa mkoa Kagera


 Baadhi ya viongozi waandamizi wa mkoa Kagera wakiangalia vifaa vilivyomo ndani ya maabara ndogo


Baadhi ya vifaa vinavyopatikana ndani ya maabara ndogo picha zote na Theonestina Juma

Tuesday, August 20, 2013

wabambwa na bunduki mbili na risasi 78 wakiwa wamezifukia ardhini



Na Mwandishi Wetu
JESHI la polisi mkoani Kagera limefanikiwa kukamata bunduki mbili zilizokuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya ujambazi ,ikiwemo utekaji na ujangili pamoja na risasi 78 zinazotumika katika bundukia aina ya SMG/SAR.
 Kamanda wa polisi mkoani hapa, Philip Kalangi alisema kuwa silaha hizo zimepatikana kutokana na msako unaoendeshwa na jeshi hilo ambapo bado unaendelea katika wilaya zote za mkoa huu ili kuwabaini na kuwakamata wale wanaojihusisha na vitendo vya uharifu.
 Kamanda Kalangi alizitaja silaha hizo kuwa ni SMG yenye namba za usajili KO 17753 na Gobole moja  pamoja na risasi 78 na magazine tatu tupu zikiwa zimefukiwa ndani ya mashimo mawili tofauti nje ya nyumba.
 Alisema Agosti 11 mwaka huu saa 4.25 usiku katika kijiji cha Sasa Maharage, kata ya Lusahunga Wilayani Biharamulo polisi waliweka mtego na kufanikiwa kumkamata, Kazuba Misigwa  (41) ambaye alikuwa akimiliki SMG ambapo alikiri baada ya kukamatwa na kuwapeleka polisi na kuwaonyesha shimo ambalo walifukua na kukuta silaha hiyo na risasi 78 na magazine tatu tupu zikiwa zimefungwa  kwenye kiroba.
 Alisema baada ya kumhoji zaidi alimtaja mwenzake mwingine aitwaye ,Alex Emmanuel (35)mkazi wa kitongoji chaNyangamagulu eneo la Nyakahula Mizani Wilayani Biharamulo ambaye pia alikamatwa na kuhojiwa alikiri na kuonyesha silaha nyingine aina ya gobole iliyotengenezwa kienyeji.
 Waliendelea kuhojiwa ndipo wakakiri kuwa silaha hizo wamekuwa wakizitumia kwa pamoja katika matukio mbalimbali ya kiuhalifu na ujangili yaliyokuwa yakitokea katika maene mbalimbali ya mkoa huu na mikoa mingine.
 Alisema kutokana na kauli hizo za watuhumiwa hao jeshi hilo linaendelea kuwahoji kwa kina ili kuyabaini matukio hayo waliyoyafanya, wahusika wengine na maeneo ili waweze kufanya ufuatiliaji zaidi.
 Hata hivyo,  zaidi ya silaha 45 zimeweza kusalimishwa na wananchi mbali mbali wiki tatu zilizopita hadi  Agosti 19 mwaka huu.
  Hatua hiyo ni kutokana na agizo la Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipokuwa katika ziara ya kikazi mkoani Kagera la kuwataka wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha kabla hawajakumbwa na msako mkali unaotarajiwa kuanza muda wowote.
Alisema hadi sasa jumla ya wahamiai haramu 10,035 wameondoka nchini kwa hiari yaohadi kufikia jana.

Saturday, August 17, 2013

Rais Kikwete yuko nchini Malawi

Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania akilakiwa na Rais Joyce Banda wa Malawi muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimatafifa wa Lilongwe tayari kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za SADC










President Kikwete arrives in Malawi to attend the 33rd Heads of State and Government SADC Summit






H.E. Joyce Banda, President of the Republic of Malawi awaits the arrival of H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania late this afternoon at the Kamuzu International Airport in Lilongwe, Malawi.


Tanzania and Malawi Government Officials awaiting the arrival of President Kikwete. Right is Ambassador Patrick Tsere, High Commissioner of the United Republic of Tanzania in Malawi, Hon. Dr. William Augustao Mgimwa (MP) (3rd right), Minister for Finance and Ambassador Flossie Gomile-Chidyaonga (2nd left), High Commissioner of Malawi in Tanzania.





President Kikwete descending the stairs upon his arrival at the Kamuzu International Airport in Lilongwe, Malawi late this afternoon. President Kikwete is in Malawi ready to attend the 33rd Heads of State and Government SADC Summit to be held at the Bingu International Conference Centre.



President Joyce Banda of Malawi welcomes her counterpart, President Jakaya Kikwete of Tanzania.



President Kikwete listens to a young boy whispering "when I grow up, I want to be a President just like you", just upon his arrival late this afternoon in Lilongwe, Malawi.



President Kikwete impressively gives a young boy a present, while President Joyce Banda of Malawi witnesses the special moment.



The Presidents share a light moment as they walk towards the Guard of Honor.




H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete inspects the Guard of Honor upon his arrival at the Kamuzu International Airport in Lilongwe, Malawi.



President Jakaya Kikwete of Tanzania and his counterpart President Joyce Banda of Malawi observing National Anthems of both countries.



President Kikwete addresses members of media who had surrounded him to inquiry about his expectation towards the 33rd Heads of State and Government SADC Summit scheduled to convene on the 17th to 18th of August, 2013.



Some women who have gathered to perform traditional dancing were also in hand to welcome President Kikwete.



More of traditional entertainments.



A group photo of Hon. Dr. William Augustao Mgimwa (MP) (left), Minister for Finance, Hon. Ephraim Chiume (MP) (center), Minister for Foreign Affairs in Malawi and Ambassador Patrick Tsere, High Commissioner of the United Republic of Tanzania in Malawi.



Hon. Chiume and Ambassador Tsere share some few laughters.




Hon. Bernard K. Membe (MP) (fourth left), Minister for Foreign Affairs and International Co-operation in a discussion with Tanzania delegation. In the photo are Ambassador Radhia Msuya (left), High Commissioner of Tanzania in South Africa, Ambassador Adadi Rajab (2nd left), High Commissioner of Tanzania in Zimbabwe and Ambassador Rajabu Gamaha (3rd left), Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation. Also in the photo is Ambassador Patrick Tsere (3rd right), High Commissioner of Tanzania in Malawi and two Senior Advisors to President Kikwete.




Hon. Membe discusses something with Ambassador Tsere, while Ambassador Rajabu Gamaha (left), and Dr. Laurean Ndumbaro, Political Advisor to President Kikwete listen.

Thursday, August 15, 2013

Pilika Pilika ilivyokuwa baada ya Nape kutengua maamuzi ya NEC mkoa Kagera



                                                              Hongereni sana jamani
                        Ni furaha kwa wanachi wa manispaa ya Bukoba baada ya Nape kutangazakutengua maamuzi ya NEC mkoa Kagera.
                                                              
                                                                         ni furaha
 mjumbe wa alimashauri kuu taifa Abdul Kagasheki akiwa na wananchi mbalimbali  wakifurahia kauli ya Nape
                                  ni shangwe wanachi wakishangilia kauli ya nape
                                                 ilikuwa ni pilika kila kona
 Diwani viti maalumu  ccmMurungi Kichwabuta muda mfupi baada ya katibu mwenezi taifa kutengua maamuzi ya kufukuzwa kwa madiwani 8 wa ccm akiwa na diawani felician bigambo wa CUF
 Diwani wa kata ya Bakoba-CUF Feliciani Bigambo  akipongeza utenguzi  wa maamuzi ya kuwafukuza madiwani wa ccm,amesema chama cha mapinduzi wananchi wangewashangaa kuona watetea haki za wananchi ndio wanaonekana  maadui na kukumbatia mafisadi,amesema kama madiwani wanafanya kazi kwa sheria na kanunu za vikao,hivyo watahakikisha haki za wananchi zinapatikana
Mwenezi wa CCM Bukoba mjini Ramadhani Kambuka akieleza kuridhishwa na kauli ya Nape kupitia vyombo vya habari

Diwani wa kata ya kashai ambaye pia ni mwenyekiti wa wilaya bukoba mjini akipongezwa na wananchi muda mfupi baada ya maamuzi ya alimashauri kuu ya ya mkoa kutenguliwa

Madiwani waliofukuzwa ni pamoja na:

1. Richard Gaspar (Miembeni )

2. Bi.Murungi Kichwabuta (viti maalum)

3. Alexander Ngalinda ambaye pia ni Naibu Meya (Buhembe)

4. Yusuf Ngaiza ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa wilaya (Kashai)

5. Deusdedit Mutakyahwa (Nyanga)

6. Robert Katunzi (Hamugembe)

7. Samwel Luangisa (Kitendaguro) na

8. Dauda Kalumuna (Ijuganyondo).

Manispaa ya Bukoba ina kata 14 na kati ya hizo kata 4 zinaongozwa na CDM(2) na CUF(2) hivyo kwa Bukoba mjini CCM imebakiza madiwani 3 TU wa kuchaguliwa .kama ifuatavyo
1.Kashai-Amefukuzwa
2. Miembeni-Amefukuzwa
3.Miembe-Amefukuzwa
4.Nyanga-Amefukuzwa
5.Hamugembe-Amefukuzwa
6.Kitendaguro-Amefukuzwa
7.Ijuganyondo-Amefukuzwa
8.(1)Kagondo-Amebaki (CCM) (Meya Amani)
9.(2)Nshambya-Amebaki(CCM)
10.(3)Kahororo-Amebaki(CCM)
11.Bilele-Amebaki(CUF)
12.Kibeta-Amebaki(CHADEMA)
13.Bakoba-Amebaki(CUF)
14.Rwamishenye-Amebaki(CHADEMA)