kutoka kushoto katibu mkuu wizara ya mazingira kenya bw ali
mohamed,waziri wa mazingira znz mh fatma ferej, katibu mkuu ofisi ya ya makamu
wa kwanza wa rais znz dkt omar dadi shajak,mkurugenzi mazingira ofisi ya makamu
wa rais Jkt Julius Ningu na katibu mkuu ofisi ya makamu wa rais bw sazi salula
katika briefing ya jumuiya ya afrika mashariki inyohusu masuala ya mabadiliko ya
tabia nchi .picha zote na evelyn mkokoi
Wadau wa Mazingira wamekutana leo na kupata mawasilisho kwa ufupi
kutoka kwa Mh. Jessa Eriyo, aliyewahi kuwa waziri wa mazingira nchini uganda
ambae kwa sasa ni Deputy Secretary general in change of productive and
sociol sectors katika jumuiya ya afrika mashariki.
Bi. Eriyo,amesema suala la mabadiliko ya tabia nchi ni agenda
ambayo imekuwa ikijadiliwa tangu mwaka 2009 katika jumuiya ya afrika mashariki,
na kwa upande wa utekelezaji jumuiya imefanya mambo mengi ikiwa ni pamoja na ku
sign makubaliano ya kifedha ya miaka mitano ya miradi ya mabadiliko ya tabia
nchi.
kwa ufupi ni hayo kwa mida hii bado
nahudhuria mikutano mingine nitaleta yaliyojiri,nawashukuru kwa
ushirikiano
No comments:
Post a Comment