Father Musaala kutoka Uganda akisakata na huku akiimba na wasanii wake
Musaala aliua ile mbaya..
Wanakwaya wakiwatuza waimbaji wa Fr. Musaala ambao walitokea Uganda kuja kuzindua Album za Kapotive -(Kapotive Star Singers-Bukoba)
Musaala akawavuta mashabiki
Dada Geogia naye hakuvumilia.. alisogea taratiiiiibu...
Akisakata sasa..
Tuimbe tushangile....
Watoto nao wakamtuza Fr.Musaala
Musaala ...akicheza na mashabiki ukumbini
Dada Geogia..
Tuimbe na tumsifu Bwana..
yupo wapi huyo ALIYEKUWA padre Musaala.
ReplyDelete