| -Majeruhi wakipatiwa Mablangeti kwa ajili ya kujihifadhi baada ya kuokolewa katika meli ya Star Gate iliozama huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250. |
| Majeruhi
alieokolewa katika meli ya Star Gate iliozama huko katika bahari ya Chumbe
Zanzibar na ikiwa na abiria 250.
|
| Wananchi wakiwa wamekusanyika eneo la Bandari mjini
Zanzibar kuona ndugu zao waliookolewa wakiwa hai na waliofariki katika ajali
hiyo[PICHA ZOTE NA RAMADHAN OTHMAN IKULU] |
| Askari wa
Vikosi mbalimbali wakiwa katika kazi ya Uokozi kwa Abiria waliokuwa katika Meli
ya Star Gate ambayo iliozama katika ikiwa imebeba abiria 250 huko katika bahari
ya Chumbe Zanzibar.
|
| Abiria waliyookolewa kutoka katika meli iliozama ya Star Gate katika bahari ya Chumbe Zanzibar.PICHA ZOTE NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR |
| Raia wa kigeni waliookolewa katika meli ya Star Gate iliozama huko katika bahari ya Chumbe Zanzibar na ikiwa na abiria 250. |
No comments:
Post a Comment