Sunday, September 15, 2013

Operesheni Kimbunga yanasa majambazi 32,mabomu sita, bunduki 22 na risasi 265

 Sehemu za risasi , mabomu na bunduki zilizokamatwa katika operesheni kimbunga inayoendelea

 Mabomu sita risasi 265 zilizokamatwa
 Mitambo ya kutengenezea magabole yalikamatwa katika Mkoa wa Kagera



 Naibu Kamishna  wa Operesheni Kimbunga, Simon Sirro akiwaonesha waandishi wa habari hawako pichani sare za Jeshi zilizokamatwa katika Operesheni hiyo.
 



Hapa Kamanda Sirro akiwaonesha waandishi namna mitambo hiyo inavyotumika kutengezea bunduki aina za magobole ambazo zinauwezo wa kuuwa wanyama hata binadamu.

No comments:

Post a Comment