Wednesday, September 18, 2013

Mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya mto Rusumo kwa nchi tatu waiva, mkataba wake wa awali wasainiwa Bukoba

 Mawaziri wa nchi tatu wa kwanza kulia  waziri wa Miundombinu wa rwanda Silas Rwakabamba, waziri wa Nishati na madini wa Tanzania Sospeter Muhongo na Waziri wa  Nishati wa Burundi Manirakiza C'ome wakiwa katika  picha ya pamoja katika viwanja vya  ukumbi wa Bukoba hotel E.L.C.T.
                                       mkutano wa kuwekeana mkataba umefanyika bukoba hotel
                         Sehemu ya waliokaa baadhi ya  wajumbe kutoka katika nchi za Tanzania, Burundi na Rwanda waliohudhuria katika kikao hicho cha kutiliana mkataba wa makubaliano ya kufufua mradi wa umeme katika maporomoko ya mto Rusumo.
Add caption
       Mawaziri kutoka nchi tatu wakiwa makini kusikiliza maelekezo yaliokuwa yakitolewa ukumbini hapo.                                              
 Bw. Paul Baringanire mwakilishi wa Benki ya Dunia ambao wamekubali kutoa dola mlioni 340 kwa ajili ya kufufua  mradi huo.
 Bi Stella Mandago mwakilishi wa benki ya maendeleo ya Afrika ambao nao wameonesha nia ya kutoa dola milioni 130.
 Waziri wa Burundi Bw. Manirakiza C'ome ambaye alikuwa akiongea kwa kifaransa na kutafsiriwa na mkalimani akieleza namna walivyojipanga katika  utekelezaji wa mradi.
 Waziri wa  miundo mbinu wa nchini Rwanda Profesa Silas Rwakabamba akieleza mikakati ya nchi yake katika utekelezaji wa mradi.
 Waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Profesa Sospeter Muhongo akifungua mkutano huo wa kutiliana mkataba wa makubaliano ya kufufua umeme kutokana na maji ya maporomoko ya mto Rusumo.
 
                       Mawaziri wa nchi tatu wakiwa katika picha ya pamoja na wafadhili wa mradi huo.
      Picha ya pamoja  ya Mawaziri, Wafadhili na baadhi ya wajumbe kutoka nchi tatu.

        Waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Profesa Muhongo akisaini mkataba wa awali wa makubaliano.
      Mawaziri  kutoka nchi tatu wakiwa wameshikilia mikataba baada ya kusaini.
          Waziri wa  Miundombinu wa nchini Rwanda profesa Rwakabamba akisaini mkataba
Mawaziri hao wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi waliosimama nyuma yao kutoka nchi zote tatu.

No comments:

Post a Comment