Changia kanisa kwa kununua sare zao rasmi ili kufanisha sherehe hizo.Hiki kitenge nilichojifunga ni moja ya aina ya sare itakayotumika siku hiyo ya Oktoba 6, mwaka huu, siku ambayo mwili wa Kadinali Rugwambwa utahamishwa kutoka katika Parokia ya Kashozi alikozikwa kwa muda na kisha kupumzishwa katika nyumba yake ya milele katika kanisa Kuu la Jimbo la Bukoba.Siku hiyo maelfu ya wageni wanatarajiwa kufurika katika Manispaa ya Bukoba.
Pata habari moto moto kila siku, kwa Mawasiliano zaidi piga Simu Na. 0755 856991/ 0712 992434 Email:-theonestinajuma@yahoo.com/rorya.09@gmail.com
Wednesday, September 26, 2012
Niko Tayari kushiriki mazishi ya Kadinali Rugambwa hapo Oktoba 6, 2012
Changia kanisa kwa kununua sare zao rasmi ili kufanisha sherehe hizo.Hiki kitenge nilichojifunga ni moja ya aina ya sare itakayotumika siku hiyo ya Oktoba 6, mwaka huu, siku ambayo mwili wa Kadinali Rugwambwa utahamishwa kutoka katika Parokia ya Kashozi alikozikwa kwa muda na kisha kupumzishwa katika nyumba yake ya milele katika kanisa Kuu la Jimbo la Bukoba.Siku hiyo maelfu ya wageni wanatarajiwa kufurika katika Manispaa ya Bukoba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment