Sehemu ya umati wa waumini pamoja na wananchi mbali mbali waliofika kanisani hapo kutoa heshima zao za mwisho
Sehemu ya baadhi ya wachungaji mbali mbali kutoka dini za kikrsito

Vijana wa Askofu Kabuga wakiwa katika tafakari nzito baada ya kuondokewa na baba yao

Askofu Mkuu wa TAG nchini, Dkt. Barnabas Mtokambali akitoa heshima za mwisho mwili wa Askofu Kabuga
Mwili wa Askofu Jackson Kabuga
No comments:
Post a Comment