Majeruhi Abdalah Ibarihim akiwa amejeruhiwa vibaya baada ya kukatwa mapnga kichwani na watu wanaodaiwa kuwa ni Wakristo
Huyu naye ni majeruhi aliyetambuliwa kwa jina la Steven Andrea (34) ambaye anadaia kujeruhiwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni waislamu,
Mchungaji aliyethibitishwa hadi sasa ni wa kanisa la PAGT aliyetambuliwa kwa jina la Mathayo Kachira(33),Mwili wake umehifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya wilaya ya Geita.
No comments:
Post a Comment